Back to home
Paulos Weldehaimanot, Rais mpya wa CECAFA aanza rasmi majukumu yake
video
C
Citizen TV (Youtube)February 18, 2026
3h ago
Rais mpya wa shirikisho la soka afrika mashariki na kati, CECAFA Paulos Weldehaimanot ameanza rasmi majukumu yake katika makao makuu ya CECAFA hapa Nairobi.
Advertisement
Advertisement





