Back to home
Wagonjwa katika hospitali mbali mbali za kaunti ya Kajiado wamepata afuenii
video
C
Citizen TV (Youtube)February 18, 2026
3h ago
Wagonjwa katika hospitali mbali mbali za kaunti ya Kajiado wamepata afuenii baada ya idara ya afya kupokea dawa za shilingi millioni 74m ambazo zimesambazwa kwenye hospitali mbali mbali za kaunti hiyo ya Kajiado.
Advertisement
Advertisement





