Back to home

Wakazi wa Kimilili wanalalamika unyakuzi wa ardhi

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 19, 2026
4h ago
Wakazi wa Eneobunge la Kimilili katika Kaunti ya Bungoma wanalalamika kuwa wawekezaji wa kibinafsi wamevamia na kunyakua kipande cha ardhi cha ekari 1.2 kinachomilikiwa na Shirika la ufadhili wa Kilimo (AFC). Haya ni huku Tume ya Maadili na Kukabili ufisadi (EACC) ikianza uchung
Advertisement