Back to home

Idara ya utabiri wa hali ya anga imewashauri wakazi kutumia ushauri unaotolewa kuepuka maafa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 19, 2026
3h ago
Idara ya utabiri wa hali ya anga imewahimiza wakazi kwenye maeneo kame nchini kutumia ushauri unaotolewa na idara hiyo vilivyo ili kuepuka hasara ya mali na maaafa . Akizungumza huko Masalani kaunti ya Garissa, kaimu mkurugenzi wa idara hiyo, Edward Muriuki, amesema ushauri huo
Advertisement