Back to home
Serikali ya kaunti ya Homa Bay imeanza mchakato wa kujenga madarasa ya kisasa
video
C
Citizen TV (Youtube)February 19, 2026
2d ago
Serikali ya kaunti ya Homa Bay imeanza mchakato wa kujenga madarasa ya kisasa ili kuinua hali ya elimu ya chekekea. Wanafunzi wengi wamekuwa wakisomea katika mazingira duni shuleni huku hali mbaya ya miundomsingi ya shuel za chekechea ikitatiza masomo.
Advertisement
Advertisement





