Back to home

Serikali ya kaunti ya Bungoma yasambaza ng'ombe wa maziwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 13, 2026
3h ago
Gavana wa Kaunti ya Bungoma, Kenneth Lusaka, amezindua shughuli ya usambazaji wa ng’ombe wa maziwa katika kaunti hiyo, ili kuongeza kipato cha wakulima wadogo. Mpango huo ni sehemu ya mkakati mpana wa kilimo unaolenga kuboresha lishe ya na kuinua maisha ya wananchi kupitia ufu
Advertisement