Back to home
Sheria mpya ya sekta ya chai itadhibiti mawakala
video
C
Citizen TV (Youtube)April 13, 2026
3h ago
Katibu wa wizara ya kilimo Dkt Paul Rono anasema kuwa mswada wa marekebisho ya sheria za mauzo ya majani chai itasuluhisha mauzo ya majani chai moja kwa moja kwa masoko ya kimataifa ambapo wakulima watapata fursa ya kujadiliana na wanunuzi kuhusu bei.Mwaka jana bonasi ya chai ili
Advertisement
Advertisement





