Back to home
Baadhi ya wabunge na maseneta wataka bajeti ya sekta ya kilimo iongezwe
video
C
Citizen TV (Youtube)April 13, 2026
3h ago
Baadhi ya wabunge na maseneta wamependekeza kuongezwa kwa mgao wa bajeti ya wizara ya kilimo na mifugo ili kuimarisha sekta hiyo na kuzuia taifa dhidi ya kuagiza chakula kutoka nje ya nchi.
Wakizungumza baada ya kukutana na wasimamizi wa mashirika ya serikali na maafisa wa wizara
Advertisement
Advertisement





