Back to home
Zoezi la kuhesabu kura laendelea kufiatia uchaguzi wa LSK
video
C
Citizen TV (Youtube)February 19, 2026
5h ago
Zoezi la kuhesabu kura linaendelea kufuatia uchaguzi wa chama cha mawakili nchini LSK. Mawakili kote nchini walijitokeza kuwachagua viongozi wapya, kwenye zoezi linalowahusisha mawakili elfu ishirini.
Advertisement
Advertisement




