Back to home

Nairobi: MCA watangaza kuwa wanaunga mkono Sakaja, pamoja na ushirikiano wake na Rais William Ruto

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 19, 2026
3h ago
Zaidi ya nusu ya wawakilishi wa wadi wote walikuwa wameshatia saini hoja ya Sakaja aende nyumbani, kabla ya kupiga abauti na kutangaza kuwa wanaunga mkono Sakaja, pamoja na ushirikiano wake na Rais William Ruto. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and eve
Advertisement