Back to home

Tahadhari ya El Niño yatolewa kabla ya msimu wa mvua za vuli

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 12, 2026
1h ago
Idara ya Utabiri wa Hali ya Hewa nchini imetoa tahadhari ya uwezekano wa mvua ya elnino katika msimu wa mvua za vuli zinazotarajiwa kunyesha kuanzia mwezi Oktoba hadi Disemba. Idara hiyo imesema hali hiyo itasababisha mabwawa ya seven folks kujaa kupita kiasi na mto tana kusababi
Advertisement