Back to home
Vimbwanga | 'Bad Girl' Millie asema hajavuta sigara hata siku moja
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 12, 2026
1h ago
Wenyeji wa Laikipia waandamana wakipinga ujio wa karantini ya Ebola huko Nanyuki. ‘Bad Girl’ Millie Odhiambo asema hajavuta sigara hata siku moja na wataalamu wa bajeti vijijini waja na kauli za kuchangamsha kuhusu usomaji wa bajeti.
Subscribe and watch NTV Kenya live for la
Advertisement
Advertisement





