Back to home
Joe Waithira wa Murang’a Seal achipuka mabao 13; Ligi Kuu kuingia raundi ya 21
video
C
Citizen TV (Youtube)February 19, 2026
3h ago
Ligi kuu nchini inatarajiwa kuingia raundi yake ya 21 ila jina la mshambulizi wa Murang’a Seal Joe Waithira ndilo linaloimbwa kutokana na umahiri wake wa kuchana nyavu. Waithira ambaye pia ni nahodha wa kikosi hicho amepachika mabao 13 kufikia sasa. Mwanaspoti wetu luqman mahmo
Advertisement
Advertisement




