Back to home
Nicholas Macharia aliyekubali kumbaka na kumuua mtoto wa miaka saba ahukumiwa kifo kwa mauaji
video
C
Citizen TV (Youtube)February 20, 2026
1w ago
Mahakama kuu ya Nyeri imemuhukumu kifo mwanamume aliyekubali kumbaka na kumuua mtoto wa miaka saba mwaka jana. Jaji Kizito Magare ametoa hukumu hii dhidi ya Nicholas Julius Macharia, akiyataja mauaji ya mtoto Tamara Blessing Kabura kuwa ya kinyama na yalihitaji adhabu ya juu
Advertisement
Advertisement
