Back to home

Charles Kanjama ndiye rais LSK

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 20, 2026
13h ago
Wakili mwandamizi Charles Kanjama alichaguliwa jana usiku kama rais mpya wa chama cha mawakili - LSK kwa kura 3,728, katika kinyang'anyiro kilichowavutia wagombea watatu.
Advertisement