Back to home
Charles Kanjama ndiye rais LSK
video
C
Citizen TV (Youtube)February 20, 2026
13h ago
Wakili mwandamizi Charles Kanjama alichaguliwa jana usiku kama rais mpya wa chama cha mawakili - LSK kwa kura 3,728, katika kinyang'anyiro kilichowavutia wagombea watatu.
Advertisement
Advertisement




