Back to home
Vyuo vya kiufundi vyaraiwa kuimarisha mafunzo nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)February 20, 2026
2h ago
Katibu wa vyuo vya mafunzo ya kiufundi Dkt. Esther Muoria amehimiza vyuo vya kiufundi nchini kuweka viwanda ndani ya taasisi hizo ili kuwapa wanafunzi maarifa na ujuzi unaohitajika katika soko la ajira viwandani.
Advertisement
Advertisement




