Back to home

Wakulima wataka madeni yanayodaiwa vyama vya ushirika kufutiliwa mbali

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 20, 2026
2h ago
Serikali imeraiwa kuharakisha mchakato wa kufutilia mbali madeni yanayodaiwa vyama vya ushirika ili kuwaondolea wakulima mzigo wa kulipia madeni hayo.
Advertisement