Back to home
Je, Nairobi inazidi kuwa ngumu kuongoza chini ya mfumo wa ugatuzi?
video
N
NTV Kenya (Youtube)February 21, 2026
2h ago
Uamuzi wa Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja kushirikiana na serikali ya kitaifa katika utekelezaji wa majukumu matatu muhimu ya kaunti, umeibua upya mjadala iwapo Kaunti ya Jiji la Nairobi inapaswa kubaki kaunti ya kawaida, au ipewe hadhi maalum yenye mfumo tofauti wa uongozi.
S
Advertisement
Advertisement




