Back to home
Kina baba eneo la Homa Bay wameanza kuwalea watoto wao
video
C
Citizen TV (Youtube)February 23, 2026
1h ago
Katika jamii nyingi humu mchini, malenzi ya watoto haswa wachanga walio chini ya miaka mitatu ni jukumu la kina mama. Hata hivyo, wazazi wa kiume katika kaunti ya Homa Bay wanabadilisha tamaduni kwa kuhusishwa katika kutekeleza majukumu haya. Kupitia mafunzo ya kusaidia ukuaji wa
Advertisement
Advertisement




