Back to home

Viongozi wa Jubilee wakemea rabsha za siasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 23, 2026
2h ago
Baadhi ya viongozi wa chama cha Jubilee wameshutumu vikali visa vya uvamizi wa mikutano ya upinzani, wakiisuta idara ya polisi kwa kushirikiana na wahuni kuvuruga mikutano hiyo. Wakizungumza kwenye uzinduzi wa ofisi ya chama cha Jubilee mjini Nyamira, viongozi hao wakiongozwa nay
Advertisement