Back to home
Wazazi Butula watakiwa kuhakikisha wanafunzi wote wanajiunga na gredi ya 10
video
N
NTV Kenya (Youtube)February 23, 2026
2h ago
Wazazi wa eneo bunge la Butula Katika kaunti ya Busia wametakiwa kuhakikisha kuwa wanafunzi wote waliofanya mtihani wa gredi ya 9 mwaka jana wanajiunga na gredi ya kumi ili kunufaika na ufadhili kutoka kwa serikali na basari za NG-CDF.
Subscribe and watch NTV Kenya live for late
Advertisement
Advertisement





