Back to home

Kongamano la siku mbili la wahariri lafanyika Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 23, 2026
1d ago
Kongamano la siku mbili la wahariri barani Afrika limeanza rasmi jijini Nairobi. Maswala yanayohusu uhuru wa wanahabari, matumizi ya teknolojia ya akili unde pamoja na mbinu za kufadhili shughuli za wanahabari yalijadiliwa kwa kina.
Advertisement