Back to home

Ukosefu wa nafasi ya kutosha ya kufanyia masomo ya ziada ni mojawapo ya changamoto

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 24, 2026
1h ago
Ukosefu wa nafasi ya kutosha ya kufanyia masomo ya ziada ni mojawapo ya changamoto zinazo changia kudorora kwa masomo kwa baadhi ya wanafunzi kutoka vitongoji duni hapa jijini Nairobi.
Advertisement