Back to home
Tana River: Mashaka yazuka kuhusu uhalali wa matokeo ya mtihani wa KCSE
video
N
NTV Kenya (Youtube)February 24, 2026
2h ago
Hofu imeibuka Tana River baada ya baadhi ya wanafunzi kupata alama za juu katika KCSE huku wasioweza kujieleza vizuri kwa lugha za Kiswahili wala Kiingereza. Wabunge, wakiwemo Mbunge wa Galole Said Hiribae, walisema kuna dalili za udanganyifu na kuonya kuwa hadhi ya elimu nchini
Advertisement
Advertisement



