Back to home

Machakos: Mwanafunzi wa gredi ya 10 aaga katika shule ya Ngelani baada ya madai ya kugongwa na lori

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 24, 2026
3h ago
Katika kaunti ya Machakos mwanafunzi wa gredi ya 10 ameaga katika shule ya upili ya wavulana ya Ngelani baada ya madai ya kugongwa na lori la kubeba maji shuleni humo Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussion
Advertisement