Back to home

Nakuru: Upasuaji wa maiti ya, Moses Onyonyi, mwanafunzi wa gradi 8 wabaini chanzo cha kifo chake

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 24, 2026
2h ago
Upasuaji wa maiti ya Moses Joseph Onyonyi, mwenye umri wa miaka kumi na minne, aliyefariki dunia baada ya kuanguka akiwa shuleni, umebaini kuwa chanzo cha kifo chake kilihusishwa na hitilafu katika mzunguko wa damu mwilini. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news t
Advertisement