Back to home

Mwanafunzi wa St. Mary’s Lwak, Siaya aripotiwa kuzuiliwa kukaa shuleni akiwa amevalia hijab

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 26, 2026
3h ago
Mzozo wa sare za shule katika Shule ya Wasichana ya St. Mary’s Lwak, Siaya, sasa umefika bungeni. Mwanafunzi wa darasa la kumi, tunayebana jina lake, aliripotiwa kuzuwa kukaa shuleni akiwa amevalia hijab wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Subscribe and watch NTV Kenya l
Advertisement