Back to home
Wakulima kaunti ya Wajir waitaka serikali kununua nyasi ya wenyeji
video
C
Citizen TV (Youtube)February 27, 2026
1h ago
Wakulima katika Kaunti ya Wajir wameiomba serikali ya kitaifa kununua malisho yanayozalishwa ndani ya kaunti hiyo kama sehemu ya juhudi zinazoendelea za kukabiliana na ukame.
Advertisement
Advertisement





