Back to home

Serikali ya kajiado yalaumiwa kwa kuongeza ushuru wa ardhi

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 27, 2026
3h ago
Serikali ya Kaunti ya Kajiado imekuwa ikikiuka uamuzi wa mahakama uliotupilia mbali nyongeza ya ushuru kwenye vipande vya ardhi hadi shilingi 7,500 kama ilivyokuwa imependekezwa. Katika uamuzi uliotolewa tarehe 19 mwezi uliopita, mahakama iliamuru wazi kuwa kiwango halali cha ush
Advertisement