Back to home
Kambi ya matibabu Kimilili yatibu wagonjwa bila malipo
video
C
Citizen TV (Youtube)March 2, 2026
3h ago
Serikali imetakiwa kuangazia upya mgao wa bajeti katika sekta ya afya ili kukidhi mahitaji ya wagonjwa kote nchini.
Wakizungumza kule kimilili kwenye kambi ya matibabu kwa wagonjwa wasiojiweza, wadau wa afya wamesikitikia idadi kubwa ya wagonjwa wenye maradhi mbalimbali huku weng
Advertisement
Advertisement





