Back to home
Walimu wanaougua magonjwa sugu bado wakosa matibabu chini ya bima ya SHA
video
C
Citizen TV (Youtube)February 28, 2026
3h ago
Miezi mitatu baada ya walimu kote nchini kuhamia bima ya SHA, walimu wanaougua magonjwa sugu kama vile saratani bado wanakosa matibabu. Baadhi ya hospitali za kibinafsi bado hazijaweka mkataba na bima ya sha. Mjini mombasa ni hospitali tatu pekee zinazotoa matibabu hayo chini ya
Advertisement
Advertisement





