Back to home

Mashambulizi Mashariki ya Kati yasababisha Kenya Airways kusitisha safari kwenda Dubai na Sharjah

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 28, 2026
3h ago
Mashambulizi yanashuhudiwa katika mataifa kadhaa ya mashariki ya kati, kufuatia mashambulizi dhidi ya jamhuri ya iran yaliyotekelezwa na marekani na israel. Hapa nchini, athari za mashambulizi hayo yanashuhudiwa baada ya shirika la ndege la Kenya airways kusitisha safari za ndege
Advertisement