Back to home
Starlets wa Kenya kucheza kirafiki na Benin usiku huu Abidjan
video
C
Citizen TV (Youtube)March 2, 2026
2h ago
Timu ya taifa ya kandanda ya wanawake Harambee starlets imekamilisha maandalizi ya mechi mbili za kirafiki mjini abidjan ivory coast. Nyota hao watamenyana na benin usiku wa leo kuanzia saa mbili katika mechi ya kwanza ya kirafiki kabla ya kukutana na wenyeji ivory coast siku ya
Advertisement
Advertisement





