Back to home

Mradi wa maji Taita Taveta

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 3, 2026
1h ago
Ni afueni kwa wakazi 1,500 huko Kiwalwa eneo bunge la Taveta kaunti ya Taita Taveta baada ya kukamilika kwa ujenzi wa kisima cha maji kitakachosaidia katika shughuli za kilimo na ufugaji. Kisima hicho ambacho kimegharimu shilingi milioni kumi pia kitasambaza maji kwa shule ya upi
Advertisement