Back to home

Zaidi ya watoto 200 wapokea msaada wa karo ya shule Vihiga

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 3, 2026
3h ago
Zaidi ya wanafunzi mia mbili mayatima katika kaunti ya Vihiga wana sababu ya kutabasamu baada ya kupokea ufadhili wa karo wa shilingi milioni 5. Akizungumza katika hafla hiyo, Mwakilishi wa kike kaunti hiyo Beatrice Adagala ameitaka serikali kuu kuongeza mgao wa fedha ya NGCDF kw
Advertisement