Back to home

Upasuaji wa miili ya watu sita waliofariki katika ajali ya ndege wabaini kiini cha vifo

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 3, 2026
1h ago
Upasuaji wa miili ya watu sita, ikiwa ni pamoja na aliyekuwa mbunge wa Emurua Dikir Johanna Ngeno, waliofariki baada ya helikopta kuanguka katika Kaunti ya Nandi, umebaini kuwa kifo kilitokana na majeraha katika sehemu tofauti za miili pamoja na kuchomeka. Subscribe to NTV Ken
Advertisement