Back to home
Wachunguzi wa ajali ya ndege Mosop, Nandi, wahoji watu 8 siku ya pili
video
C
Citizen TV (Youtube)March 2, 2026
3h ago
Uchunguzi wa ndege iliyosababisha vifo vya watu 6 akiwemo mbunge wa Emurua Dikirr Johana Ng'eno imeingia siku yake ya pili, huku wachambuzi wa ajali za ndege wakifika katika eneo la mkasa kaunti ya nandi. Kamati ya pamoja ya uchunguzi ikiwa tayari imewahoji watu 8 kuhusiana na aj
Advertisement
Advertisement




