Back to home

Jacobeth Jeptoo aonyesha ushujaa baada ya kujaribu kuokoa maisha

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 2, 2026
3h ago
Kijiji cha Chepkiep huko Mosop kaunti ya nandi kimesalia kwenye kumbukumbu za tanzia ya ajali ya ndege iliyoua watu sita akiwemo marehemu mbunge Johana Ng'eno. Hata hivyo, ni katika kijiji hiki ambapo taarifa ya ushujaa wa mama na bintiye umegonga vichwa vya habari kwa ujasiri wa
Advertisement