Back to home

| Mwanamke bomba| Magdalene Ramoya awainua zaidi ya wajane 5,000 Busia |

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 3, 2026
2h ago
Katika makala yetu ya mwanamke bomba wiki hii tunamuangazia Magdalene Stella Ramoya, mjane ambaye amechukua jukumu la kuwainua wajane wenzake katika kijiji cha Lwanya eneo la Matayos viungani mwa mji wa Busia. Kwa miaka kadhaa, Magdalene amekuwa kielelezo chema kwa wenzake anaowa
Advertisement