Back to home
Sifuna na baadhi ya wabunge wanaounga mkono Linda Mwananchi wasusia mkutano wa wabunge wote wa ODM
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 3, 2026
2h ago
Katibu Mkuu wa ODM Edwin Sifuna, na baadhi ya wabunge wanaounga mkono mrengo wake wa Linda Mwananchi walisusia mkutano wa wabunge wote wa ODM, uliofanyika leo katika majengo ya Bunge.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans
Advertisement
Advertisement





