Back to home

Shughuli katika bunge zasitishwa ili kutoa nafasi kwa wabunge kumuomboleza Mbunge Johanna Ng'eno

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 3, 2026
1h ago
Shughuli za kawaida katika bunge la kitaifa zilisitishwa leo alasiri ili kutoa nafasi kwa wabunge kumuomboleza na kutoa rambirambi zao kufuatia kifo cha Mbunge wa Emurua Dikirr Johanna Ng'eno, na wakenya wengine watano katika ajali ya ndege Subscribe to NTV Kenya channel for lat
Advertisement