Back to home

Washukiwa sita wa KWS wajibu mauaji ya Brian Odhiambo, kesi itaanza Juni

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 3, 2026
2h ago
Washukiwa sita wa shirika la kws walioshtakiwa kwa madai ya kumteka nyara mvuvi Brian Odhiambo januari mwaka jana, wana kesi ya kujibu. Hakimu mkuu wa mahakama ya nakuru kipkurui kibellion ametoa uamuzi huu akieleza kuwa alitilia maanani ushahidi uliowasilishwa mbele yake. Famili
Advertisement