Back to home
Waziri Wandayi asema serikali itatafuta njia mbadala za kupata mafuta
video
C
Citizen TV (Youtube)March 4, 2026
2h ago
Waziri wa Kawi Opiyo Wandayi amewahakikishia wakenya kuwa taifa lina mafuta ya kutosha kwa sasa, licha ya msukosuko unaoshuhudiwa katika mataifa ya mashariki ya kati. kwenye taarifa kwa vyombo vya habari Waziri Wandayi pia amesema kuwa serikali inazungumza na wauzaji kujadili nji
Advertisement
Advertisement



