Back to home
Upinzani wapinga hazina mpya ya miundomsingi
video
C
Citizen TV (Youtube)March 5, 2026
2h ago
Viongozi wa upinzani sasa wanataka bunge kutupilia mbali mswada wa hazina ya kitaifa ya miundomsingi, wakisema kuanzishwa kwa hazina hiyo ni kinyume na sheria. Viongozi hao wakiongozwa na kinara wa DCP Rigathi Gachagua na mwenzake wa Wiper Kalonzo Musyoka kwenye kikao na wanahaba
Advertisement
Advertisement



