Back to home
Linet Ayuko ni mwingi wa imani kwamba yeye na Pauline Sheghu watatamba katika WRC Safari Rally 2026
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 5, 2026
2h ago
Dereva msaidizi Linet Ayuko ni mwingi wa imani kwamba yeye na Pauline Sheghu watatamba katika makala ya mwaka huu ya mashindano ya dunia ya mbio za magari ambayo yatafanyika tarehe 12 hadi 15 mwezi huu mjini Naivasha, Kaunti ya Nakuru.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest K
Advertisement
Advertisement




