Back to home

Waombolezaji wataka uchunguzi kufanyika kuhusu ajali ya ndege iliyomuua mbunge Ngeno na wengine 5

video
N
NTV Kenya (Youtube)
March 5, 2026
2h ago
Wito wa kufanyika kwa uchunguzi wa kina kufahamu kiini cha ajali ya ndege ya Nandi, ilishamiri kwenye ibada jumlishi ya wafu ya mbunge Johanna Ngeno na watu wengine wato iliyofanyika kwenye shule ya msingi ya Emurua Dikirr Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news to
Advertisement