Back to home

Mafadhaiko ya Urusi: Familia za wanajeshi waandamana kudai majibu

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 5, 2026
2h ago
Familia za Wakenya waliosajili kwenda urusi wamewasilisha waraka kwa bunge la kitaifa kutaka majibu ya haraka kuhusu jamaa zao waliosafiri nchini Urusi kupigana vita. Familia za waathiriwa leo zikitembea hadi bungeni, wakidai baadhi ya jamaa zao wameshikwa mateka nchini humo. Hay
Advertisement