Back to home

Ajali Taveta: Watu 6 waangamia baada ya basi kugongana na trela

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 5, 2026
2h ago
Watu kadhaa wanauguza majeraha kufuatia ajali ya barabarani iliyowaua watu sita. Ajali hiyo ilitokea baada ya dereva wa basi la kampuni ya Chania Executive kupoteza mwelekeo na kuanguka katika eneo la Manyatta, kaunti ya Taita Taveta.
Advertisement