Back to home
Watu sita wafariki kwenye ajali ya barabarani Manyatta, kaunti ya Taita Taveta
video
C
Citizen TV (Youtube)March 5, 2026
2h ago
Watu sita wamefariki papo hapo baada ya dereva wa basi la kampuni ya Chania Executive kupoteza mwelekeo na kuanguka katika eneo la Manyatta, kaunti ya taita taveta.
Advertisement
Advertisement





