Back to home

watu 8 wafariki na wengine 27 wajeruhiwa kwenye ajali ya barabarani eneo la Salama

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 8, 2026
1h ago
Watu wanane wamefariki huku wengine zaidi ya 20 wakijeruhiwa kwenye ajali ya barabarani eneo la salama kaunti ya Makueni. ajali hiyo ilihusisha magari manne katika eneo la ACK kwenye barabara ya Mombasa kuja hapa Nairobi.
Advertisement